Pages

Thursday, February 16, 2012

Sala ya kielelezo, sala ya Bwana - Mathayo 6:9,10

"Baba yetu uliye Mbinguni, Jina lako litukuzwe......... Ufalme wako uje...........Mapenzi yako yatimizwe hapa duniani kama Mbinguni" Jina hilo la kutukuzwa ni la Yesu au Yehova? Je, watu wema wanakwenda mbinguni kufanya nini wakati Yesu alisema tuombe Ufalme wa Mungu uje hapa duniani? Mapenzi yanayotimizwa Mbinguni ni yapi? Ambayo tunaomba yatimizwe na hapa duniani? Naomba mchango wenu rafiki/ndugu zangu. Kisha nami nitatoa wa kwangu. Kadri tunavyochangia, tunajengana kiroho. Hatubishani, ila tunaelimishana tu. Karibuni. Mathayo 6:9,10.